top of page
churchwp_media_-12-1150x600.jpg

Misheni

Nyumbani  - Misheni

Kuwa kwenye misheni ni mojawapo ya maeneo makuu tunayofurahia  kuyafanya kwa sababu watu wengi wanahitaji kusikia habari njema  za Yesu Kristo.Tunatambua ya kwamba kueneza injili  ni agizo kuu Yesu alituamuru kufanya. kwa vile huduma hii ni kwa ajili ya kuwafikia watu tunaona kwamba wengine hawahitaji chakula cha kiroho pekee, bali pia nyenzo na vitu vya kujikimu katika maisha yao ya kila siku. Zifuatazo ni moja ya misheni ambazo zimekamilika kwa msaada wa Roho mtakatifu

Kuwatembelea watoto yatima

Kufundisha/Kuhubiri Neno la Mungu 

MATUKIO YAJAYO

TUKIO LINALOFUATA

Events
®© Hakimiliki™
© 2022 na Japhet Mkondya Ministries. Inaendeshwa na UniPegasus Infotech Solutions.
  • Instagram
  • Facebook
  • YouTube
bottom of page